![]() |
Mtoto wa Kikwete akiweka sain kwenye kitabu cha maombolezo nyumbani kwa marehemu. |
![]() |
Msanii wa move alimaarufu kama Bi mwenda akilia kwa uchungu mkubwa kwa kupotelewa na nguli wa filamu nchini. |
![]() |
Mbunge wa kinondoni Mh. Idd Azzan akiweka sain kwenye kitabu cha maombolezo cha maombolezo ya kifo cha mcheza Filamu Nchini marehemu steve Kanumba nyumbani kwake ambapo alikuwa akiishi. |
![]() |
Mke wa waziri Mkuu Mama Pinda naye akiweka saini kwenye kitabu cha maombolezo. |
No comments:
Post a Comment