Saturday, April 7, 2012

WATU WAZIDI KUFURIKA NYUMBANI KWA MAREHEMU KANUMBA

Mwili wa marehemu Stive Kanumba wakati unaingizwa mochwari ya Muhimbili jijini Dar es salaam.

Sweiba wa karibu kabisa wa Marehemu Steve Kanumba Visenti Kigosi akiingia mochwari.


Baadhi ya wasanii ambao wamefika nyumbani kwake hii leo asubuhi..


Ni jamaa, ndugu na marafiki waliofika nyumbani kwa marehemu  hii leo. Wkionesha sura zilizo jaa uzuni na majonzi.


Mmoja wa waii wa bongo move azimiia baada ya kupata taarifa juu ya msiba huo.

No comments:

Post a Comment