Monday, May 7, 2012

HII NDIYO HALI HALISI YA SOKO LA KARIAKOO

Baadhi ya wafanya biashara wa soko kuu la kariakoo wakiuza bidhaa zao nje ya soko hilo, na ni kinyume cha sheria leo  jijini Dar es salaam.



Baadhi ya wakazi wa jiji wakinunua bidhaa kwa ajili ya matumizi yao, jijini dar es salaam.



Hizi ni mbogamboga za majani ambazo zimepangwa chini na wafanya biashara hao jijini hapa.



No comments:

Post a Comment