Wednesday, July 16, 2014

DAWA YA WAGANGA WA JADI HII HAPA

Mkurugenzi wa kitengo cha tiba asili na tiba mbadala D.k Poul Mhare wa Pili kutoka kulia akionesha baadhi ya mambango ambayo yametolewa manispaa ya temeke leo Jijini Dar es Salaam.

Askari wa Manispaa ya Temeke akitoa bango ambalo limewekwa kwenye nguzo ya umeme hivi leo jijini Dar es Salaam.

Askari wa Manispaa ya Temeke akiendelea na zoezi la uondoaji mabango hayo.

No comments:

Post a Comment