Thursday, March 29, 2012

CHADEMA YACHACHAMAA ARUMERU MASHARIKI

Mgombea wa ubunge Arumeru mashariki, Nassari akiwa karibu na helkopta, anayoitumia kama usafiri katika kampeni zinazoendelea katika jimbo hilo

 

Mwenyekiti wa chadema, Mbunge wa Hai na kiongozi mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh. Freemani  Mbowe  akimnadi Nassari jana.


Mgombea wa chadema  Nassari (katika) akisindikizwa kwenye helkopta. kushoto ni kamanda wa Renatus Mrashani katibu wa  CHADEMA mkoa wa Dar es salaam. (picha zote na jackison w. Makala) Arusha.


No comments:

Post a Comment