Wednesday, July 30, 2014

HALI YA BAHATI BUKUKU BADO SI NZURI MAOMBI YAHITAJIKA .


Na Karoli Vinsent

HALI ya Msanii Hodari wa Nyimbo za Injiri Nchini Tanzania Bahati Bukuku inazidi kuwa mbaya,sasa kinachoitajika ni Maombi na sara  kutoka kwa Watanzania ndio itakayoweza kumwokoa Msanii huyo wa Injiri,Mtadano umeambiwa.

Bahati Bukuku,ambaye alipata ajari mbaya ya Gari iliyotokea usiku wa kuamkia Jumapili  iliyopita kwenye eneo la Ranchi ya Narco wilayani Kongwa  Mkoani Dodoma m,ajira ya saa tisa usiku wakati alipokuwa anakwenda Mkoani Shinyanga,Kahama kwenye mkutano wa Injiri ambapo ajari ndiyo iliomleta matatizo makubwa.

 Akizungumza na Blog hii huu kwa Njia  ya Simu, Rafiki wa karibu wa bahati Bukuku ambaye hakutaka jina lake litajwe,  alisema kwa sasa hali ya Mwanamziki huyo inazidi kuwa mbaya, kinachoitajika ni sara na Maombi ya watanzania.

No comments:

Post a Comment