Audio ya
wimbo huu umefanywa hapa hapa Tanzania na producer wa Kitanzania anaitwa
Tudd Thomas ambaye ni mkali aliyetengeneza hit single kadhaa za wasanii
mbalimbali ikiwemo singo ya Ndagushima ya Ommy Dimpoz na Mdogo Mdogo ya
Diamond Platnumz.
Video imefanywa na Director kutoka Kenya Kevin Bosco Jnr ambaye kwa taarifa fupi ni kwamba ameshiriki pia kutengeneza video ya Mtanzania Ney wa Mitego ya Mr. Ney ambayo bado haijatoka. |
No comments:
Post a Comment