Roeson Seif Mwakyusa akishikiliwa na kachelo wa Jeshi la polisi mara baada ya kukamatwa jana huko chamanzi jijini Dar es Salaam. |
Habari za uhakika kutoka jeshi la polisi, inasema kuwa mtuhumiwa huyo alikuwa kweli ni askari wa jeshi la pilisi ila alifukuzwa kazi feb mwaka huu, kutokana kukiuka sheria ya jeshi hilo.
Mtuhumiwa huyo alikamatwa na gari no T723 BAK T/Cresta rangi nyeupe ambayo ilitumika kufanyiua utapeli, pia alikamatwa na radio Call 1,leseni za udreva zipatazo 20, sale za polisi pamoja na Ratiba ya mabasi iyendayo mikoani.
No comments:
Post a Comment