Sunday, July 20, 2014

MABONDIA KUUNDA UMOJA WA KUSAIDIANA

Bondia Japhert Kaseba akizungumza kabla ya kufunga mkutano huo aliouitisha kwa ajili ya kuunda umoja wa mabondia kusaidiana kwa mambo mbalimbali picha na

www.superdboxing coach.blogspot.com


Bondia Said Chiddy kushoto akizungumza wakati wa mkutano wa umoja wa mabondia kwa ajili ya kusaidiana katika mambo mbalimbali uliofanyika katika ukumbi wa Vijana Kinondoni jana picha na www.superdboxing coach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment