![]() |
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba |
Habari kutoka ndani ya kamati hiyo inayofanyia
vikao vyake katika moja ya kumbi za Dodoma Hoteli zinasema, mvutano huo
ulitokea Alhamisi iliyopita na kusababisha Wassira kusitisha kwa muda
kikao hicho, kisha kwenda kuwasuluhisha.
No comments:
Post a Comment