Tuesday, July 29, 2014

IYF YAWATAKA VIJANA KUHUDHURIA KWENYE TAMASHA LA BADILISHA FIKRA


Mkurugenzi wa International Youth Fellowship (TYF) Jeon Hee Yong (katikati), akiongea na waandishi wa habari hivi leo juu ya tamasha hilo ambalo litaanza tarehe agosti 5-9 mwaka huu, amesema kuwa tamasha litakalofanyika Mlimani City, hilo litaunganisha zaidi ya vijana 2500 ambao watabadilishwa kifra, kiingilio ni sh.20,000/= tu na watakao udhuria watapewa T-shert, chakula na malazi bure.




Baadhi ya vijana wakionesha jinsi mambo yatakavyokuwa.






No comments:

Post a Comment