Thursday, July 17, 2014

DIAMOND AZIDI KUPETA KIMATAIFA

Msanii wa Kiazazi kipya Nassibu Abul (Diamond), amezidi kufanya mapiduzi katika soko la mziki ndani na nje ya Mipaka ya Tanzania.

Diamond anabainisha kuwa, ngoma yake mpya  ya Bum Bum aliyoifanya na Iyanya, inazidi kutesa kwenye vituo mambali mbali  ya Televisheni Nigeria na nje ya Nigeria...

Diamond amesema kuwa baada ya kuachia ngoma yake hiyo amefanikiwa kupata shoo kadhaa Nigeria jambo ambaolo ni mafanikio ya kazi ambayo anaifanya anayoifanya, amebainisha kuwa kuwana baadhi ya watu wamekuwa wakimkatisha tamaa lakini yeye hata sikiliza maneno yao bali atafanya kazi ili kuweza  kuwapa radha wanayo itaka mashabiki wake.

  Bofya hapa kuangalia ngoma hiyo........

No comments:

Post a Comment