Wednesday, April 30, 2014

LAKE OIL, YATOA MSAADA KWA HOSPITALI ZA DAR

Meneja wa lake oil wa kwanza kusho (Khaled Hassan) akiongea na waandinshi wa habari jana wakati akikabidhi msaada huo katika hopitali ya Mwananyamara jijini Dar es Salaam.


Mwakilishi wa mgaga mkuu Mkoa  Aekim Mwaikasu, akitoa shukurani zake kwa uongozi wa kampuni ya Lake oil kuwezakutoa msaada hiyo.

Baadhi ya wafanyakazi wa Lake oil wakishuudia makabidhiano hayo



No comments:

Post a Comment