Mkurugenzi Mtandaji wa
TBL, Bw. Robin Goetzsche ameweka wazi kuwa kampuni ya TBL itasaini
Mkataba wa miaka 5 wenye thamani ya Dola za Kimarekani Milioni 10 sawa
na Tsh.23 Bilioni na katika kipindi chote hicho kauli mbiu itakuwa
“FIKISHA SOKA YA TANZANIA KATIKA KILELE CHA MAFANIKIO” nakuwataka
Watanzania kilicho chao. |
No comments:
Post a Comment