MADIWANI wa Halmashauri ya wilaya ya Meatu Mkoani
Simiyu wamewafuta kazi watendaji watano wa serikali za vijiji na mmoja mtendaji wa kata kwa kile kilichodaiwa utoro kazini bila kutoa taarifa pamoja na kuzarau viongozi
wa ngazi za juu ndani ya Halmshauri hiyo.
|
No comments:
Post a Comment