Monday, August 18, 2014

UTABIRI WA ASKOFU KAKOBE UNAENDELEA KUTIMIA, IKULU NA MWANASHERIA WA SERIKALI WATOFAUTIANA

kakobe
Mchungaji Kakobe
 
 
 
Ni mazingaombwe yanayoweza kupatikana tanzania pekee duniani.
 
‘ikulu inatoa tamko lao kuwa bunge litaendelea na katiba lazima ipatikakane bila hata ya kuwepo umoja wa katiba ya wananchi [ukawa].
 
Na wakati huo mwanasheria mkuu wa serikali anakuja na vituko vingine vya kuueleza umma wa watanzania kuwa bila [ukawa] katiba mpya haiwezi kupatikana.na tena anaenda mbali kwa kuwaomba kwa moyo mweupe na kiunyenyekevu wale aliowaita matumbili,ati tu kwa sababu wanapigania maslahi ya umma wa watanzania kuwa ame miss manjonjo yao ya kupigania ukombozi wa watanzania!
 
-hapa tukubali tukatae lazima kutakuwa na ombwe la uongozi nchini.
 
Na askofu zackari kakobe atashinda kwa unabii wa maneno yake kuwa c.c.m itasambaratika katika ramani ya dunia na hatutaiona wala kuisikia tena!

No comments:

Post a Comment