Mgonjwa wa Ebola akipelekwa eneo maalum kwa matibabu nchini Sierra Leone.
IDADI ya
watu waliopoteza maisha kwa ugonjwa wa Ebola huko Afrika Magharibi mpaka
sasa imefikia 1,350 kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Shirika
la Afya Duniani (WHO) huku watu 106 wakiripotiwa kufariki kati ya Agosti
17-18 mwaka huu.
Ugonjwa huo ambao husambazwa moja kwa moja kupitia majimaji ya mwilini kutoka kwa mgonjwa mpaka sasa bado hauna tiba.
No comments:
Post a Comment