![]() |
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Stendi mpya ya Kisasa iliyopo mkabala na uwanja wa Nane Nane Jijini Mbeya . |
![]() |
Waziri Mkuu akiwapungia wananchi mara baada ya kuwasili katika eneo la Stendi mpya ya kisasa Nane Nane Jijini Mbeya. |
![]() |
Waziri Mkuu Pinda akikata utepe kufungua maonesho ya Nane Nane yanayofanyika kikanda Jijini Mbeya leo mchana, maonesho hayo yanatarajiwa kuwa kilele chake siku ya Agosti 8. |
No comments:
Post a Comment