Katika hukumu hiyo iliyotolewa jana na Hakimu Mkazi
Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kilimanjaro, Simon Kobelo, askofu
huyo amehukumiwa kifungo hicho pamoja na raia watano wa Kenya baada ya
kupatikana na hatia ya kufanya wizi huo kwa mtutu wa bunduki.
No comments:
Post a Comment