ASUBUHI ya leo July 18, kuna taarifa kutoka Moshi kuwa mfanyakazi wa
ndani wa kiume [Houseboy] kumpasua kichwa mtoto mdogo wa darasa la 3
kisha ubongo wake.
Baada ya kumaliza tukio hilo kilichofuata ni yeye kujikata sehemu
zake za siri, taarifa za kina zikuhushu tukio hilo la kusisimua utazipata... Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro amethibitisha kutikea kwa tukio hilo.
No comments:
Post a Comment