Jemba mmoja apewa kichapo na askari wa jeshi la police, baada ya kupiga picha kwa kutumia simu watuhumiwa waliokamatwa wamevaa t-shirt zenye maandishi yasiyo kuwa ujumbe mzuri ambao haukuweza kufahamika mara moja leo hii wakati wa mapokezi ya Rais Obama.
|
No comments:
Post a Comment