Waziri Mkuu , Mizengo Pinda akiweka saini kwenye kitabu cha maombolezo cha aliyekuwa msanii wa Bongo Move hapa Nchini Nyumbani kwa marehemu Steve Kanumba Sinza jijini Dar es Salaam leo. |
Waziri Mkuu MIzengo Pinda akisalimiana na baadhi ya waombolezaji mara baada ya kufika nyumbani kwa marehemu Steve Kanumba Sinza Vatican Jijini Dar es salaam leo. |
No comments:
Post a Comment