Tuesday, April 10, 2012

SAFARI YA MWISHO YA MAREHEMU KANUMBA IMEISHIA HAPA


h
Hii ndiyo safari ya mwisho ya mpendwa wetu marehemu Steve Kanumba ilipo ishia na hapa ni makaburi ya kinondoni Jijini Dar es Salaam leo.

Hapa mwili wa marehemu ukifika makaburini ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam.



Mwili wa marehemu Steve Kanumba ukihifadhiwa ndani ya nyumba ya milele makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es salaam.


Mwili wa marehemu Steve Kanumba ukiwasili uwanjani kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho.

Jamani Kanumba Stive Kanumba alikuwa kipenzi cha watu dah watu walifurika ujapata ona, Hawa ni baadhi ya watu na viongozi wa serikali.

Baadhi ya viongozi wakiaga mwili wa marehemu leo Jijini Dar es Salaam.

Mama wa marehemu Steve Kanumba akiwasili makabuli ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment