Tuesday, April 10, 2012

NI VIGUMU KUAMINI LAKINI NDIO HALI HALISI YA UWANJANI HAPA.

Kikosi maalumu cha msalaba mwekundu kiki mchukuwa mmoja wa mtu aliye poteza fahamu baada ya mwili kuwasili uwanjani.

Huyu naye ni mmoja wa mashabiki wakubwa wa marehemu Steve Kanumba akipelekwa kupewa huduma ya kwanza.

Mdogo wake na marehemu Steve Kanumba akiwasili uwanjani hapo.



No comments:

Post a Comment