Saturday, March 24, 2012

RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AWAHAPISHA MAKATIBU TAWALWA WA MIKOA JIJINI DAR ES SALAAM LEO.
Katibu tawala mpya wa mbeya Bi. Mariam Mtunguja  akila kiapo mbele ya rais Kikwete leo jijini Dar es salaam. Rais amewaapisha pia  makatibu tawala wa mikoa ifatayo. Morogoro, Ruvuma, Katavi,Kilimanjaro, Geita pamoja na Shinyanga. (picha na FREDDY MARO).

No comments:

Post a Comment